Page 10 - Kiswahili Grade 5 Yaliyomo ya kidijitali
P. 10

3. Mapambo









               Mlango 5. Maonyesho ya Urembo

               Mlango 6. Furaha na Fahari

               Sarufi

               Nomino za makundi
               1. halaiki ya watu                       2. umati wa watu
               3. kaumu ya watu                         4. tita la nguo

               5. bunda la nguo                         6. kicha cha funguo
               7. kicha cha mboga                       8. bunda la noti

               9. bunda la karatasi                     10. shada la maua
               11. mtungo wa maua                       12. koja la maua

               13. jaa la taka                          14. biwi la taka
               15. biwi la magugu                       16. hombo la samaki

               17. mtungo wa samaki                     18. tumbi la samaki
               19. baraza la wazee                      20. jopo la waandishi
               21. pakacha la matunda                   22. kichala cha matunda

               23. wingu la nzige                       24. wingu la moshi
               25. mzinga wa nyuki                      26. kikoa cha waimbaji

               27. kikoa cha wachezaji                  28. kikosi cha askari
   5   6   7   8   9   10   11   12   13   14   15