Page 6 - Kiswahili Grade 5 Yaliyomo ya kidijitali
P. 6

11.  Thuluthi ya dhahabu yenye thamani kubwa ilinunuliwa
                   na wateja thelathini waliodhamiria kuitumia kama
                   dhamana ya kukopa fedha katika benki.

               Kusoma

               Msamiati wa mapishi
               1.   Njia mbalimbali za kupika

                   a)   kukaanga

                   b)   kuchemsha
                   c)   kuchoma
                   d)     kuoka

               2.   Aina za vyakula
                   a)   ugali au sima

                   b)   pure
                   c)   wali

                   d)   biriani
                   e)   pilau

                   f)     matoke
                   g)   kima
                   h)   viazi vitamu

                   i)     viazi vikuu
                   j)     viazi wanga

                   k)   mbatata
               3.   Viungo vya kupikia

                   Viungo huongeza ladha na harufu nzuri kwenye chakula.
                   a)   bizari

                   b)   nyanya
                   c)   dania
                   d)   mgiligilani

                   e)   vitunguu

                   f)     pilipili
                   g)   chumvi
   1   2   3   4   5   6   7   8   9   10   11