Page 8 - Kiswahili Grade 5 Yaliyomo ya kidijitali
P. 8

2.  Huduma ya Kwanza










               Mlango 3. Somo la Kamusi Darasani

               Mlango 4. Ajali Haibishi Hodi

               Kusikiliza na kuzungumza


               Maamkuzi
               Ambatanisha maamkuzi na majibu sahihi.


                       Maamkuzi                          Majibu

                1      Habari?                           Sijambo.
                2      Uhali gani?                       Masalkheri.

                3      Shikamoo.                         Nzuri.

                4      Waambaje?                         Chewa.

                5      Sabalkheri?                       Marahaba.

                6      Masalkheri?                       Njema.

                7      Hujambo?                          Salama.

                8      Salaam aleikum.                   Sina la kuamba.
                9      Chewa!                            Sabalkheri.

                10     Umeamkaje?                        Aleikum salaam.
   3   4   5   6   7   8   9   10   11   12   13