Page 3 - Kiswahili Grade 5 Yaliyomo ya kidijitali
P. 3

Kusoma kwa ufahamu


                    •   Shairi :  Fimbo ya umaskini
                    •   Shairi :  Ukata hauna tamu

                    Sarufi

                    •   Umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya U-ZI

                    •   Umoja na wingi wa sentensi katika ngeli ya U-ZI
               6.   Maadili

                    Kusikiliza na kuzungumza

                    •   Shairi :  Wahuni wa kijijini

                    •   Shairi :  Maadili niyaghani
                    Sarufi


                    •   Umoja na wingi wa nomino katika ngeli ya U-YA
                    •   Umoja na wingi wa sentensi katika ngeli ya U-YA

                    Kusoma kwa mapana

                    •   Matini 1: Kisa cha Mtema na Malaika

                    •   Matini 2: Mwuzatiketi na mzee mwadilifu
                    •   Matini 3: Fadhila za punda

                    •   Matini 4: Uongo haufai

               7.   Elimu ya mazingira
                    Kusoma kwa mapana

                    •   Matini 1: Ndoto ya Mzee Saka

                    •   Matini 2: Maisha yangu kama chupa ya plastiki

                    •   Matini 3: Naipenda dunia (baruapepe)
                    Kuandika


                    •   Kielelezo cha insha ya maelezo (Miti ni uhai)
   1   2   3   4   5   6   7   8